- Видео 35 181
- Просмотров 714 611 385
Azam TV
Танзания
Добавлен 29 июл 2013
Welcome to the official Azam TV RUclips channel.
Azam TV is East Africa's leading digital satellite service provider headquartered in Dar Es Salaam, Tanzania.
Founded in 2013, we offer the best and broadest range of content, quality customer service and use innovative new technology to give customers a better TV experience at affordable prices.
Azam TV is part of the Bakhresa Group of Companies with an established track record for providing high-quality products and services to the market across Africa.
We are the exclusive broadcasters of the Tanzania Premier League known as Vodacom Premier League. Check out Azam Media on mobile and download our app, AzamTV MAX for Android and iOS devices.
Azam TV is East Africa's leading digital satellite service provider headquartered in Dar Es Salaam, Tanzania.
Founded in 2013, we offer the best and broadest range of content, quality customer service and use innovative new technology to give customers a better TV experience at affordable prices.
Azam TV is part of the Bakhresa Group of Companies with an established track record for providing high-quality products and services to the market across Africa.
We are the exclusive broadcasters of the Tanzania Premier League known as Vodacom Premier League. Check out Azam Media on mobile and download our app, AzamTV MAX for Android and iOS devices.
Highlights | Simba Queens 2-0 Amani Queens | Ligi Kuu ya Wanawake 05/05/2024
Simba Queens imeendelea kutamba kwenye ligi kuu ya wanawake Tanzania Bara kwa kuipiga Amani Queens mabao 2-0, mchezo ukipigwa Azam Complex, Chamazi.
Simba wamelazimika kusubiri hadi kipindi cha pili kupata magoli hayo yakitoka kwa Ruth Ingosi dakika ya 60 na Jentrix Shikangwa dakika ya 78.
Simba wamelazimika kusubiri hadi kipindi cha pili kupata magoli hayo yakitoka kwa Ruth Ingosi dakika ya 60 na Jentrix Shikangwa dakika ya 78.
Просмотров: 18 142
Видео
Magoli | Simba Queens 2-0 Amani Queens | Ligi Kuu ya Wanawake 05/05/2024
Просмотров 2,6 тыс.12 часов назад
Simba Queens imeendelea kutamba kwenye ligi kuu ya wanawake Tanzania Bara kwa kuipiga Amani Queens mabao 2-0, mchezo ukipigwa Azam Complex, Chamazi. Simba wamelazimika kusubiri hadi kipindi cha pili kupata magoli hayo yakitoka kwa Ruth Ingosi dakika ya 60 na Jentrix Shikangwa dakika ya 78.
Mashujaa FC 0 -1 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 05/05/2024
Просмотров 80 тыс.13 часов назад
Goli pekee kutoka kwa Joseph Guede limeipa yanga ushindi wa 1-0 dhidi ya Mashujaa FC ugenini kwenye Dimba la Lake Tanganyika Kigoma, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tazama highlights....
Goli la Joseph Guede | Mashujaa FC 0-1 Yanga SC | NBC Premier League 05/05/2024
Просмотров 14 тыс.13 часов назад
Goli pekee kutoka kwa Joseph Guede limeipa yanga ushindi wa 1-0 dhidi ya Mashujaa FC ugenini kwenye Dimba la Lake Tanganyika Kigoma, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC
Wachambuzi wasema Mashujaa wanaweza kujikuta wageni mbele ya Yanga
Просмотров 1,6 тыс.17 часов назад
Wachambuzi wa soka wa kipindi cha #SportsAM wamesema upo uwezekano wa Mashujaa FC kujikuta wakiwa kama wageni mbele ya Yanga kwenye dimba lao la nyumbani la Lake Tanganyika. Ni mechi ya NBC Premier League.
KURASA ZA MWISHO | Waandishi habari za michezo wazigusa Simba, Yanga, Mashuja FC
Просмотров 1,3 тыс.20 часов назад
Waandishi wa habari za michezo wamechambua mechi ya NBC Premier League wakihusisha mechi kati ya Simba Vs Tabora United, Mashujaa FC dhidi ya Mashujaa FC na mwenendo mzima wa ligi. Kipindi hiki kimeongozwa na Ramadhan Ngoda.
Simulizi, mahojiano kuhusu gwiji wa soka Tanzania David Mwakalebela
Просмотров 39020 часов назад
SIMULIZI YA MWAKALEBELA: Isikie simulizi pamoja kuyatazama mahojiano maalumu kumhusu nyota wa zamani wa soka aliyeanzia Mwadui FC kisha akaenda kutamba na Pamba FC na Yanga SC, David John Mwakalebela. Nyota huyo ambaye pia alitamba na Timu ya Taifa ya Tanzania, kwa sasa anasumbuliwa na maradhi ambayo yameathiri uwezo wake wa kumbukumbu. Alifanya mahojiano haya na mtangazaji @MahmoudZubeiry waka...
Ubishi wa mashabiki watatu wa Simba na Yanga kutoka Manzese Dar es Salaam
Просмотров 98121 час назад
Tazama hii vuta nikuvute ya maneno ya mashabiki watatu wa soka kutoka Manzese Bakhresa Dar es Salaam. Ubishani wao ulianzia kwenye habari iliyoandikwa na gazeti la Mwanaspoti ikiihusu Simba SC. Shabiki wa Simba anasema Yanga leo hawatoki salama pale Lake Tanganyika mbele ya Mashujaa, amsifu Kocha Juma Mgunda na ‘kuitisha’ Tabora United.
KMC FC 0-0 Kagera Sugar | Highlights | NBC Premier League 04/05/2024
Просмотров 8532 часа назад
Hakuna goli kati ya KMC na Kagera Sugar, lakini ilikuwa ni mechi tamu na kila aina ya ushindani kiufundi..... Hapa ni #AzamComplex Chamazi na hii ni #NBCPremierLeague Tazama highlights.....
JKT Tanzania 2-0 Geita Gold FC | Highlights | NBC Premier League 04/05/2024
Просмотров 1,5 тыс.2 часа назад
JKT Tanzania imepata ushindi wake wa pili kwenye dimba lake la Meja Jenerali Isamuhyo baada ya kuichapa Geita Gold FC mabao 2-0, mchezo wa #NBCPremierLeague Magoli ya JKT Tanzania yamefungwa na Daniel Lyanga na Najim Magulu.
Singida Fountain Gate 2-0 Dodoma Jiji | Highlights | NBC Premier League 04/05/2024
Просмотров 1,5 тыс.2 часа назад
Magoli mawili ya Habibu Kyombo moja likiwa la penati, yametosha kuipa alama tatu Singinda Fountain gate FC kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Dodoma jiji FC. Ni mechi ya #NBCPremierLeague ikipigwa CCM Kirumba, Mwanza......
Magoli | Singida Fountain Gate 2-0 Dodoma Jiji | NBC Premier League 04/05/2024
Просмотров 6 тыс.2 часа назад
Magoli mawili ya Habibu Kyombo moja likiwa la penati, yametosha kuipa alama tatu Singinda Fountain gate FC kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Dodoma jiji FC. Ni mechi ya #NBCPremierLeague ikipigwa CCM Kirumba, Mwanza......
YANGA TV 03/05/2024 | Pacome amaliza utata; Wazee Yanga wafanyiwa 'party'
Просмотров 3,5 тыс.2 часа назад
Baada ya kukosekana dimbani kwa zaidi ya mwezi mmoja, kiungo wa Yanga, Pacome Zouzoua amefanya Exclusive Interview na Yanga TV na kumaliza utata wote kuhusu tetesi za kuondoka Jangwani na matarajio yake baada ya kurejea dimbani... Pia ndani ya kipindi hiki utaona jinsi uongozi wa Yanga ulivyowapongeza wazee kwa kuwaandalia sherehe ya nguvu baada ya kufanikisha jukumu la kumpiga mtani Simba SC k...
Magwiji wa soka Mkapa, Duwa Said, Adolph Rishard wachambua nusu fainali
Просмотров 9812 часа назад
Magwiji wa soka nchini, Duwa Said, Keneth Mkapa na Adolph Rishard wamezichambua mechi za nusu fainali za #CRDBBankFederationCup kati ya Coastal Union dhidi ya Azam FC ambayo itapigwa Mei 18, katika dimba la CCM Kirumba pamoja na ile ya Ihefu SC dhidi ya Yanga SC itakayopigwa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha, Mei 19.
JKT Tanzania 2-0 Geita Gold FC | Magoli | NBC Premier League - 04/05/2024
Просмотров 4,8 тыс.2 часа назад
Tazama magoli yote yaliyofungwa na JKT Tanzania ikiichapa Geita Gold 2-0 kwenye mchezo wa NBC Premier League. Magoli yamefungwa na Daniel Lyanga na Najim Magulu
Azam FC 4-1 Namungo FC | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 03/05/2024
Просмотров 18 тыс.4 часа назад
Azam FC 4-1 Namungo FC | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 03/05/2024
Magoli | Azam FC 4-1 Namungo FC | CRDB Bank Federation Cup 03/05/2024
Просмотров 38 тыс.4 часа назад
Magoli | Azam FC 4-1 Namungo FC | CRDB Bank Federation Cup 03/05/2024
Simba SC 2-0 Mtibwa Sugar | Highlights | NBC Premier League 03/05/2024
Просмотров 127 тыс.4 часа назад
Simba SC 2-0 Mtibwa Sugar | Highlights | NBC Premier League 03/05/2024
Magoli | Simba SC 2-0 Mtibwa Sugar | NBC Premier League 03/05/2024
Просмотров 54 тыс.4 часа назад
Magoli | Simba SC 2-0 Mtibwa Sugar | NBC Premier League 03/05/2024
KIPYENGA CHA MWISHO - Episode 300 | Utata kadi nyekundu Yanga Vs Coastal Union
Просмотров 7 тыс.7 часов назад
KIPYENGA CHA MWISHO - Episode 300 | Utata kadi nyekundu Yanga Vs Coastal Union
NYAVUNI | Goli la Onana dhidi ya Namungo lashika nafasi ya kwanza, Guede,Balua watisha
Просмотров 7 тыс.7 часов назад
NYAVUNI | Goli la Onana dhidi ya Namungo lashika nafasi ya kwanza, Guede,Balua watisha
Azam White 3-0 Azam Simiyu | Magoli |Azam Youth Tournament - 02/05/2024
Просмотров 1,6 тыс.7 часов назад
Azam White 3-0 Azam Simiyu | Magoli |Azam Youth Tournament - 02/05/2024
Katwila, Mgunda wazungumzia mchezo wao wa NBC Premier League
Просмотров 1,9 тыс.7 часов назад
Katwila, Mgunda wazungumzia mchezo wao wa NBC Premier League
Yanga Vs Tabora United | Dakika tatu za baada ya kipyenga cha mwisho
Просмотров 3,8 тыс.7 часов назад
Yanga Vs Tabora United | Dakika tatu za baada ya kipyenga cha mwisho
AZAM FC TV | Azam FC yaitaka Ligi ya Mabingwa Afrika yasajili wachezaji maalumu kwa kazi hiyo..
Просмотров 2,4 тыс.7 часов назад
AZAM FC TV | Azam FC yaitaka Ligi ya Mabingwa Afrika yasajili wachezaji maalumu kwa kazi hiyo..
SIMBA TV | Chama afunguka baada ya Simba kuchukua Kombe la Muungano, Simba Queens yaendeleza ubabe
Просмотров 2,3 тыс.7 часов назад
SIMBA TV | Chama afunguka baada ya Simba kuchukua Kombe la Muungano, Simba Queens yaendeleza ubabe
Yanga SC 3-0 Tabora United | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 01/05/2024
Просмотров 199 тыс.9 часов назад
Yanga SC 3-0 Tabora United | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 01/05/2024
Magoli | Yanga SC 3-0 Tabora United | CRDB Bank Federation Cup 01/05/2024
Просмотров 64 тыс.9 часов назад
Magoli | Yanga SC 3-0 Tabora United | CRDB Bank Federation Cup 01/05/2024
Coastal Union 1-0 Geita Gold | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 01/05/2024
Просмотров 2,9 тыс.9 часов назад
Coastal Union 1-0 Geita Gold | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 01/05/2024
Tatzo Ana zarau sana mwakinyo anahisi kashatoboa
Joe magoli is on 🔥🔥🔥
Tanga moja kama anakuja nyumbani halafu pambano litakupa hela kitaifa,kipaji unacho ila msisahau figisu mkija ulaya bila usimamizi mnawekewa madawa kwenye maji ya kunywa vyakula tangu hotelini,na hii sio kwa wanamichezo mpaka kwa viongozi wetu wa nchi wakija nje kusaini mikataba muhimu ya nchi wajipange ,tunalinda nchi taifa na maslahi.maoni yangu ni hayo tuu.
Watu watamkumbuka Kwa mengi,sijaona Africa nzima kiongozi mchapa Kazi kama John Joseph magufui
Mashujaa played very well,big up!!
Man U wakimuona Guede tumekwisha 😑
Simba kuweni makini na uchaguzi Yanga wanaweza mchagua Magungu tena
Musonda auzwe
Hii ni aibu kubwa wanawake wanajituma wanaume hoe hae duu
Mmmmh Hilo Gori la pili hata saidoo hawezi kifunga, dada hongera kwa uturivu
Aziz k nishabiki wayanga
Bora kidogo ata huku tunapata amani simba nisimba ata akiwa jike
Barua na karabaka na. Chasambi wachezaji hatali sana❤❤❤
Mashujaa kidogo mtuaibishe et 😂😂😂
Hongereni sana azam tv kwa hiki mlichofanya sasa hivi ukiwa livescore unauwezo wakupata video za matches za NBC premier league moja kwa moja itakupeleka RUclips kazi nzuri azam tv 👏👏👏👏🔥🔥
Adiiiiii lahaaaaa 😂😂😂
Hawa wadada wapo vizuri kweli hamjatuangusha. Hongereni sana
Ruth ingosi my cousin, proud of you
Huyu miquel. anakazi ya kufukuza makocha kazii 😂😂😂 yani ndani ya miezi kadhaa kashafukuza makocha wa wili hapo ngoja nicheke 🎉🎉🎉 miquel 😂😂😂
Najipend yanga
Mangungu 5 tena
Gwede my favourite player 🔥
Huyu mwamba huwa anafunga kwenye dk 41 tuu 🎉🎉🎉anajua guede
Vzr xn
Bingwa wanawake wacheze na bingwa wanaume 😂😂
Kuna watu wanainjoi kucheza mpira kama Baka.
Wateimu champez kk very nais
tunaorudia 5/5/2024
Tupo
Hawa wadad wanaheshimisha Jina la Simba pongezi kwao
Simba queens mauwa yenu 🎉🎉🎉 ubingwa tunachukua
Shikangwa ni mtu kbisa
💪🤾🏿♀️🤾🏾♀️🤾🏾♀️🕊🤝👍👍👍👍👍👍👍
Wananchi awashikiki
Kiingilio kilikuwa sh ngap
Kiingilio kilikuwa sh ngap
Bule
Buku 5
Ko ilikuwaje UBUNTU BOTHO mbona shabiki hawakuja
Jamanii yanga laha like yanguu iyooo
Golden boy alikuwa anacheka na nyavu Kila anapopenda
Nitafutie msemaji wa mashujaa aliongea hovyo ,tumsikie maana wameshafungwa ... Tumsikie
Nisichokipenda kwa huyu mshereheshaji ni neno #Kutumbukiza😂😂😂😂 Ananiboa kichizii yaani..
Hilo neno linakukera bure maana huko kupasiana na kusukumana kote madhumuni ni KUUTUMBUKIZA huo mpira golini kwa mpinzani.
@@hajihassan5433 😁😁😁😁😁😁
Hatupoi nawala HAtuboi yanga 🔥🔥🔥🔥
Mapigo na mwendo, wamepigwa na wameenda.
sioo oooo aema gooool
Goli la pili linastahili kuwa goli bora❤❤
MVP musimu huu ni AZIZ KI nadhani haina mjadala wanao weza chuana naye ni kipre, kamanda baka, matampi ,fei musimu huu simba pale hawaambulii tuzo yoyote ile
Neno MVP kwa urefu humanisha nini tafadhali?
@@fredricknyamwe5163 Most valuable player
@@fredricknyamwe5163Mangungu kaVimba Pua
SIMBA ❤❤
😊
Mashujaa mmejitahidi kupambana ila ndo hvo matokeo ya football jipange muda mwingne,,,,,,,,
uyo mkenya ni moto usiooteka😂❤❤
Kalabaka anajua sana cjui coach matatizo gan kuto waamin vijana
Muda sahihi wa kumsahau mayele na kuonesha sapport kwa guede🎉🎉🎉🎉🎉🎉